Mkuu wa wilaya Evance Balama akiri Lumbesa kuendelea wilayani Mbeya?Atakaa jitihada zaidi kukomesha.Asema wafanyabiashara wa Dar es salaam wamemfuata na kutishia maisha yake.
Balama ameyasema hayo katika kikao cha baraaza la madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Mbeya
No comments:
Post a Comment