Kwa pamoja tusherehekee siku ya leo kwa AMANI na UTULIVU
Tuwakumbuke walio katika makundi yaliyosahaulika,wapo YATIMA,WAGONJWA NA WATOTO WAISHIO KWENYE MAZINGIRA MAGUMU NA HATARISHI
Tumshukuru MUUMBA kwa kutujalia kufikia siku hii muhimu na yenye historia katika maisha yetu.
Kwa walio wanandoa,wapenzi ni siku nzuri kwetu kutafakari tulianzia wapi,tukatoka wapi,tuko wapi kwa sasa na malengo yetu ni kufika wapi.Kama kuna matatizo katika mahusiano yetu tuitumie siku hii kujadili kiini chake na tuyamalize ili tutimize malengo yetu
Uongozi wa mtandao huu unaungana nawe katika VALENTINE DAY yako.
No comments:
Post a Comment